WAZIRI JAFO AHIMIZA UPANDAJI MITI KUHIFADHI MAZINGIRA

Na Barnabas Kisengi Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Dkt. Selemani Jafo amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili Tanzania imepiga hatua katika kusukuma mbele ajenda ya mazingira kwa upandaji miti na kutunza Mazingira hapa nchini. Dkt Jafo Amesema hayo January 27, 2023 wakati akizungumza baada ya kuongoza zoezi